a
Mit 19:3
;
Rum 7:7-10
b
Mwa 3:6
;
Isa 59:4
;
Rum 6:23
James 1:14-15
14
a
Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
15
b
Basi ile tamaa mbaya ikishachukua mimba, huzaa dhambi, nayo ile dhambi ikikomaa, huzaa mauti.
Copyright information for
SwhNEN